Pages - Menu

Wednesday, 20 August 2014

Maandalizi ya Kampeni ya Nijali (Care for ME) na Kambi la Vijana

 
Wawakilishi toka vijiji mbalimbali vya SOS Tanzania bara na Zanzibar walikutana Mjini Unguja kwa siku tano kuandaa Kongamano la Vijana na uhamasishaji wa kampeni ya Nijali (Care for Me)
Haikuwa  vyema  bila kutembelea eneo la tukio ambapo Kampeni ya CARE for ME ilifanyika, Wawakilishi waliwasili Wilaya ya Kusini Magharibi na kupata wasaa wa kujadili na Mashea wa Vitongoji mbalimbali vya Wilaya ya Kusini Unguja 

 Mwenyekiti wa Maandilizi kutoka Arusha (Paulo Hella) akifafanua baadhi ya mambo kwa Mashea wa Vitongoji vya wilaya ya Kusini Magharibu


  Afisa Ustawi wa Jamii wa wilaya ya Kusini Magharibi akifafanua jambo wakati wa kikao





 Wawakilishi wa SOS na Mashea  wakifualia Mkutano kwa makini




 Hatimaje Mkutano uliisha na kuanza safari ya kurudi Unguja

No comments:

Post a Comment